Zamaradi afunguka kwanini kamuweka mume kwenye bango
NI Zamaradi Mketema ambae time hii amefika katika studio za Cadotz
“Bango lenye picha ya Mume wangu litakaa pale kwa mwezi mmoja, ni Mwanaume ambaye Mwanamke yeyote angetamani kuwa nae, wengine wanasema usimsifie Mwanaume ila kwangu ni tofauti, naishi kwa moment niliyopo kama ananifurahisha kwanini nisiseme?”- Zamaradi
Zamaradi afunguka kwanini kamuweka mume kwenye bango
Reviewed by Cadotz media
on
6:43 AM
Rating:
Post a Comment