Jeshi la SYRIA lavunja eneo la ISLAMIC STATE


Jeshi la SYRIA limedai kuvunja eneo lililokua limezingirwa na wapiganaji wa kikundi cha ISLAMIC STATE kwa miaka miwili kaskazini mwa nchi hiyo.

Mwanajeshi mmoja alisema kuwa jeshi la SYRIA limefanikiwa kufika katika eneo la kambi ya jeshi la anga la KWEIRES na kuwaachia huru zaidi ya wanajeshi 100 waliokua wameshikiliwa tangu mwaka 2013.

Televisheni ya SYRIA imeonesha maeneo ya nje ya kambi hiyo ya jeshi la anga yaliyokombolewa na jeshi na kusema kuwa, idadi kubwa ya wapiganaji wa kikundi cha IS wameuawa wakati wa operesheni hiyo
Jeshi la SYRIA lavunja eneo la ISLAMIC STATE Jeshi la SYRIA lavunja eneo la ISLAMIC STATE Reviewed by Unknown on 12:29 PM Rating: 5

No comments

Comment to Cadotz

Ndugu ahsante kwa kuitembelea Cadotz, Endelea kufurahia huduma zetu pia Tunakusogezea Cadotz uchague unachokitaka katika menyu zetu.
Bofya chini

<<< rudi