BOKO HARAM yatoa picha ya baadhi ya wanafunzi waliotekwa
Kikundi cha wanamgambo wa kiislam cha BOKO HARAM nchini NIGERIA kimetoa picha ya video inayoonyesha baadhi ya wanafunzi wa kike waliotekwa miaka miwili iliyopita katika mji wa CHIBOK
Habari zinasema picha hizo ambazo zimerekodiwa mwezi Disemba zimewasilishwa katika serikali ya NIGERIA zikionyesha wasichana 15 waliovalia mavazi na kujitambulisha kuwa miongoni mwa wanafunzi waliotekwa wakiwa shule.
Baadhi ya wazazi wa watoto hao wamekiri kuwatambua.
Hii ni mara ya kwanza kuonyeshwa kwa picha za wanafunzi hao tangu mwezi Mei mwaka 2014 ambapo wasichana 276 walitekwa.
Baadhi ya wazazi wa watoto hao wamekiri kuwatambua.
Hii ni mara ya kwanza kuonyeshwa kwa picha za wanafunzi hao tangu mwezi Mei mwaka 2014 ambapo wasichana 276 walitekwa.
BOKO HARAM yatoa picha ya baadhi ya wanafunzi waliotekwa
Reviewed by Unknown
on
1:33 PM
Rating:

Post a Comment