Majaliwa asitisha ujenzi wa ofisi ya halmashauri
Majaliwa asitisha ujenzi wa ofisi ya halmashauri
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesitisha uamuzi wa ujenzi wa makao makuu ya halmashauri ya wilaya ya Tarime katika eneo la Nyamwaga baada ya kubaini kutaifanya halmashauri hiyo itumie fedha nyingi kwa ajili ya ulipaji fi dia wakazi wa maeneo hayo.
Majaliwa asitisha ujenzi wa ofisi ya halmashauri
Reviewed by Unknown
on
3:03 PM
Rating:
Post a Comment