YANGA YAIOMBA MSAMAHA SIMBA KUELEKEA MECHI NA TP MAZEMBE.

Kuelekea mchezo wao dhidi TP MAZEMBE kutoka Jamhuri ya watu wa Congo,Uongozi wa Yanga chini ya afisa habari na mawasiliano Jerry Muro wamewapigia goti timu na mashabiki wa Simba na kuiomba support yao katika mchezo huo.na pia waliwaalika viongozi wa matawi wa simba ili kufikisha ujumbe huo. Pata uhondo huo.

YANGA YAIOMBA MSAMAHA SIMBA KUELEKEA MECHI NA TP MAZEMBE. YANGA YAIOMBA MSAMAHA SIMBA KUELEKEA MECHI NA TP MAZEMBE. Reviewed by Unknown on 11:40 AM Rating: 5

No comments

Comment to Cadotz

Ndugu ahsante kwa kuitembelea Cadotz, Endelea kufurahia huduma zetu pia Tunakusogezea Cadotz uchague unachokitaka katika menyu zetu.
Bofya chini

<<< rudi