SOMALIA: AL SHABAAB WAWALIPUA WABUNGE WAKIWA KWENYE KIKAO

Kikundi cha wapiganaji wa kiisilamu la Al Shabaab kimeshambulia bunge la Somalia na kusababisha vifo vya watu kadhaa mjini Mogadishu.
Kikundi hicho kimetekeleza azma yao kwa kutumia gari lililokuwa na mabomu ambalo lilipuka leo kabla ya saa sita mchana. Wabunge pamoja na wafanyakazi wengine waliweza kuokolewa punde baada ya gari kulipuka.
.
Kwa upande mwingine hili ni Bunge la kwanza rasmi la Somalia lilianza kufanya kazi miaka miwili iliyopita tangu Somalia kutumbukia katika vita mwaka 1992.
SOMALIA: AL SHABAAB WAWALIPUA WABUNGE WAKIWA KWENYE KIKAO SOMALIA: AL SHABAAB WAWALIPUA WABUNGE WAKIWA KWENYE KIKAO Reviewed by Unknown on 2:16 PM Rating: 5

No comments

Comment to Cadotz

Ndugu ahsante kwa kuitembelea Cadotz, Endelea kufurahia huduma zetu pia Tunakusogezea Cadotz uchague unachokitaka katika menyu zetu.
Bofya chini

<<< rudi