Hivi Kutongoza ni Kipaji?
Ila kwa sasa nashukuru nimegundua mbinu... siumizi kichwa... ni pasi moja ndefu hadi golini... Yaani nikimtaka demu ni kumsalimia kisha naenda moja kwa moja to the point ...aisee Mshiki nimekufeel sana natamani unipe hapo hiyo kitu yako, Unasemaje... Then from there inabaki tu kusisitiza maana nimeshatamka shida yangu. Ila mi naona kutongoza ni kipaji aisee... |
Hivi Kutongoza ni Kipaji?
Reviewed by Unknown
on
10:52 AM
Rating:

Post a Comment